![]() |
Francis Kimemia |
Katika taarifa yake Kimemia amesema serikali itaiteua bodi ya uangalizi wa utawala na kuanzisha uchunguzi wa madai ya rushwa yaliyotawala katika mpango mzima wa utoaji huduma za matibabu kwa watumishi wa umma.
Amesema hatua hiyo ni kulinda maslahi ya umma katika taaissisi hiyo kufuatia madai yaliyoripotiwa kwa kiasi kikubwa na vyombo vyote vya habari vikiwemo radio,televisheni pamoja na magazeti.
No comments:
Post a Comment