![]() |
waandamanaji mitaani |
![]() |
Kituo cha mafuta kilichofungwa |
Maelfu ya waandamanaji jijini Lagos pamoja na miji mingine mikubwa kupinga kuondolewa kwa ruzuku hiyo ambayo imesababisha kuoanda maradufu kwa bei ya mafuta
Vurugu zimeendelea katika ya polisi na waandamanaji ambapo mmoja wa waandamaji ameuwawa Kaskazini mwa mji wa Kano ambako takribani watu 20 wamejeruhiwa.
No comments:
Post a Comment